Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Usishangilie,+ Ee Ufilisti,+ yeyote kati yenu, ati kwa sababu fimbo ya yule anayewapiga imevunjwa.+ Kwa maana kutoka katika mzizi wa nyoka+ atatoka nyoka mwenye sumu,+ na tunda lake litakuwa nyoka wa moto anayeruka.+

  • Yeremia 25:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 na jamii yote iliyochangamana, na wafalme wote wa nchi ya Usi,+ na wafalme wote wa nchi ya Wafilisti+ na Ashkeloni+ na Gaza+ na Ekroni+ na mabaki ya Ashdodi;+

  • Yoeli 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Pia, mna nini nami, enyi Tiro na Sidoni+ pia nanyi maeneo ya Ufilisti?+ Je, hivyo ndivyo mnavyonitendea kwa kunipa thawabu? Na ikiwa mnanitendea hivyo, matendo yenu nitayalipa haraka, naam, upesi, juu ya vichwa vyenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki