Ezekieli 32:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “‘Edomu+ yuko huko, wafalme wake na wakuu wake wote, ambao ingawa walikuwa hodari, walilazwa miongoni mwa wale waliouawa kwa upanga; wao pia watalala na watu ambao hawajatahiriwa+ na pamoja na wale wanaoshuka chini shimoni.*
29 “‘Edomu+ yuko huko, wafalme wake na wakuu wake wote, ambao ingawa walikuwa hodari, walilazwa miongoni mwa wale waliouawa kwa upanga; wao pia watalala na watu ambao hawajatahiriwa+ na pamoja na wale wanaoshuka chini shimoni.*