Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kwa hiyo Esau akamwambia Yakobo: “Haraka, tafadhali, nipe nimeze chekundu—chekundu hicho, kwa maana nimechoka!” Hiyo ndiyo sababu jina lake lilikuwa Edomu.+

  • Mwanzo 36:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Na hii ndiyo historia ya Esau, yaani, Edomu.+

  • Isaya 34:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Kwa maana upanga+ wangu hakika utaloweshwa mbinguni. Tazama! Utashuka juu ya Edomu,+ na juu ya watu ambao nimewatenga ili niwaangamize+ katika haki.

  • Ezekieli 25:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Edomu ametenda kwa kulipiza kisasi juu ya nyumba ya Yuda nao waliendelea kufanya kosa kwa kadiri kubwa na kujilipizia kisasi juu yao,+

  • Amosi 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Edomu,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu alimfuatilia ndugu yake mwenyewe kwa upanga,+ na kwa sababu aliharibu sifa zake mwenyewe za rehema,+ na hasira yake huendelea kurarua milele, na ghadhabu yake—ameishika daima.+

  • Obadia 1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Maono ya Obadia:

      Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi kuhusu Edomu:+ “Kuna habari ambayo tumesikia kutoka kwa Yehova, na kuna mjumbe ambaye ametumwa kati ya mataifa, ‘Simameni, na tusimame tupigane naye.’ ”+

  • Malaki 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Kwa sababu Edomu anaendelea kusema, ‘Tumevunjwa-vunjwa, lakini tutarudi na kujenga mahali palipoharibiwa,’ Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Wao watajenga; lakini mimi nitabomoa.+ Na watu watawaita wao kuwa “eneo la uovu” na “watu ambao Yehova ameshutumu+ mpaka wakati usio na kipimo.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki