Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kwa hiyo Esau akamwambia Yakobo: “Haraka, tafadhali, nipe nimeze chekundu—chekundu hicho, kwa maana nimechoka!” Hiyo ndiyo sababu jina lake lilikuwa Edomu.+

  • Kumbukumbu la Torati 23:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Usimchukie Mwedomu, kwa maana yeye ni ndugu yako.+

      “Usimchukie Mmisri, kwa maana ulikuwa mkaaji mgeni katika nchi yake.+

  • Ezekieli 25:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Edomu ametenda kwa kulipiza kisasi juu ya nyumba ya Yuda nao waliendelea kufanya kosa kwa kadiri kubwa na kujilipizia kisasi juu yao,+

  • Waroma 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kama ilivyoandikwa: “Nilimpenda Yakobo, lakini nilimchukia Esau.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki