Malaki 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 naye Esau+ nikamchukia; mwishowe nikafanya milima yake kuwa ukiwa+ na urithi wake kuwa wa mbwa-mwitu wa nyikani.”+ Waebrania 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwamba kusiwe na mwasherati wala yeyote asiyethamini mambo matakatifu, kama Esau,+ ambaye alitoa haki zake za kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kubadilishana na mlo mmoja.+
3 naye Esau+ nikamchukia; mwishowe nikafanya milima yake kuwa ukiwa+ na urithi wake kuwa wa mbwa-mwitu wa nyikani.”+
16 kwamba kusiwe na mwasherati wala yeyote asiyethamini mambo matakatifu, kama Esau,+ ambaye alitoa haki zake za kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kubadilishana na mlo mmoja.+