Amosi 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Edomu,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu alimfuatia kwa upanga ndugu yake mwenyewe,+Na kwa sababu alikataa kuonyesha rehema;Katika hasira yake anaendelea kuwararuararua bila huruma,Na bado anaendelea kuwakasirikia vikali.+
11 Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Edomu,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu alimfuatia kwa upanga ndugu yake mwenyewe,+Na kwa sababu alikataa kuonyesha rehema;Katika hasira yake anaendelea kuwararuararua bila huruma,Na bado anaendelea kuwakasirikia vikali.+