23 Basi nikaondoka na kwenda kwenye nchi tambarare ya bondeni, na, tazama! utukufu wa Yehova ulikuwa umesimama huko,+ kama utukufu niliouona kando ya mto Kebari,+ nami nikaanguka kifudifudi.+
3 Nao utukufu wa Mungu wa Israeli,+ uliondolewa juu ya makerubi+ ambao ulikuwa juu yao kwenye mlango wa nyumba hiyo,+ naye akaanza kumwita yule mwanamume aliyevaa kitani,+ ambaye alikuwa na kidau cha wino kiunoni.