3 Kisha utukufu wa Mungu wa Israeli+ ukainuka kutoka mahali ulipokuwa umetulia juu ya makerubi na kwenda kwenye kizingiti cha mlango wa nyumba hiyo,+ naye akaanza kumwita kwa sauti yule mwanamume aliyevaa kitani, ambaye alikuwa na kidau cha wino cha mwandishi kiunoni.