Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi nikaondoka na kwenda kwenye bonde tambarare, na tazama! utukufu wa Yehova ulikuwa huko,+ kama utukufu niliokuwa nimeuona kando ya mto Kebari,+ nami nikaanguka chini kifudifudi.

  • Ezekieli 8:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kisha akanyoosha kitu kilichoonekana kama mkono na kuniinua kwa kishungi cha nywele za kichwa changu, na roho ikanibeba katikati ya dunia na mbingu na kunileta Yerusalemu kupitia maono kutoka kwa Mungu, kwenye njia inayoelekea kwenye lango la ndani+ linalotazama kaskazini, mahali ilipokuwa ishara ya* ibada ya sanamu inayochochea wivu.+ 4 Na tazama! utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa hapo,+ kama mwonekano niliokuwa nimeuona katika bonde tambarare.+

  • Ezekieli 11:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Sasa wale makerubi wakayainua juu mabawa yao, na yale magurudumu yalikuwa karibu nao,+ na utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki