23 Basi nikaondoka na kwenda kwenye nchi tambarare ya bondeni, na, tazama! utukufu wa Yehova ulikuwa umesimama huko,+ kama utukufu niliouona kando ya mto Kebari,+ nami nikaanguka kifudifudi.+
22 Na sasa wale makerubi+ wakayainua mabawa yao, na yale magurudumu yalikuwa karibu nao,+ nao utukufu+ wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao, kutoka juu.+