2 Naye akamwambia yule mwanamume aliyevaa kitani,+ akasema: “Ingia katikati ya magurudumu yanayozunguka,+ upande wa ndani chini ya makerubi, ujaze mikono yako makaa+ ya moto kutoka katikati ya makerubi na kuyatupa juu ya jiji.”+ Kwa hiyo akaingia ndani mbele ya macho yangu.