Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme+ na nyumba zote za Yerusalemu;+ na nyumba ya kila mtu mkuu akaiteketeza kwa moto.+

  • Zaburi 120:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mishale iliyonolewa ya mwanamume mwenye nguvu,+

      Pamoja na makaa yanayowaka moto ya miretemu.+

  • Zaburi 140:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Makaa yanayowaka moto na yaangushwe juu yao.+

      Na waangushwe motoni,+ ndani ya mashimo yenye maji, ili wasipate kusimama.+

  • Ufunuo 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini mara moja malaika huyo akachukua kile chombo cha uvumba, akakijaza sehemu ya moto+ wa madhabahu na kukitupa duniani.+ Na ngurumo+ zikatokea na sauti na umeme+ na tetemeko la nchi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki