2 Wafalme 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme+ na nyumba zote za Yerusalemu;+ na nyumba ya kila mtu mkuu akaiteketeza kwa moto.+ Zaburi 120:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mishale iliyonolewa ya mwanamume mwenye nguvu,+Pamoja na makaa yanayowaka moto ya miretemu.+ Zaburi 140:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Makaa yanayowaka moto na yaangushwe juu yao.+Na waangushwe motoni,+ ndani ya mashimo yenye maji, ili wasipate kusimama.+ Ufunuo 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini mara moja malaika huyo akachukua kile chombo cha uvumba, akakijaza sehemu ya moto+ wa madhabahu na kukitupa duniani.+ Na ngurumo+ zikatokea na sauti na umeme+ na tetemeko la nchi.+
9 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme+ na nyumba zote za Yerusalemu;+ na nyumba ya kila mtu mkuu akaiteketeza kwa moto.+
10 Makaa yanayowaka moto na yaangushwe juu yao.+Na waangushwe motoni,+ ndani ya mashimo yenye maji, ili wasipate kusimama.+
5 Lakini mara moja malaika huyo akachukua kile chombo cha uvumba, akakijaza sehemu ya moto+ wa madhabahu na kukitupa duniani.+ Na ngurumo+ zikatokea na sauti na umeme+ na tetemeko la nchi.+