Zaburi 140:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Makaa yanayowaka moto na yaangushwe juu yao.+Na waangushwe motoni,+ ndani ya mashimo yenye maji, ili wasipate kusimama.+ Methali 16:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mtu asiyefaa kitu anachimbua lililo baya,+ na katika midomo yake ni kana kwamba kuna moto unaounguza.+
10 Makaa yanayowaka moto na yaangushwe juu yao.+Na waangushwe motoni,+ ndani ya mashimo yenye maji, ili wasipate kusimama.+
27 Mtu asiyefaa kitu anachimbua lililo baya,+ na katika midomo yake ni kana kwamba kuna moto unaounguza.+