Mwanzo 19:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Yehova akanyesha kiberiti na moto kutoka kwa Yehova, kutoka mbinguni, juu ya Sodoma na juu ya Gomora.+ Zaburi 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeye atawanyeshea waovu mitego, moto na kiberiti+Na upepo wenye kuunguza, vikiwa fungu la kikombe chao.+ Zaburi 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Utawafanya wawe kama tanuru yenye moto wakati wako uliowekwa wa kukaza uangalifu wako;+Yehova atawameza katika hasira yake, na moto utawateketeza.+
24 Ndipo Yehova akanyesha kiberiti na moto kutoka kwa Yehova, kutoka mbinguni, juu ya Sodoma na juu ya Gomora.+
6 Yeye atawanyeshea waovu mitego, moto na kiberiti+Na upepo wenye kuunguza, vikiwa fungu la kikombe chao.+
9 Utawafanya wawe kama tanuru yenye moto wakati wako uliowekwa wa kukaza uangalifu wako;+Yehova atawameza katika hasira yake, na moto utawateketeza.+