13 Na kuhusu mfano wa hao viumbe hai, kuonekana kwao kulikuwa kama makaa ya moto yanayowaka.+ Kitu kama kuonekana kwa mienge+ kilikuwa kikisonga mbele na nyuma katikati ya hao viumbe hai, nao moto ulikuwa mwangavu, na umeme ulikuwa ukitoka kati ya moto.+