Ezekieli 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wale viumbe hai walionekana kama makaa ya moto yanayowaka, na kitu kilichofanana na mienge ya moto mwangavu kilikuwa kikisonga mbele na nyuma katikati ya hao viumbe hai, na radi ilikuwa ikiwakawaka kutoka katika ule moto.+
13 Na wale viumbe hai walionekana kama makaa ya moto yanayowaka, na kitu kilichofanana na mienge ya moto mwangavu kilikuwa kikisonga mbele na nyuma katikati ya hao viumbe hai, na radi ilikuwa ikiwakawaka kutoka katika ule moto.+