-
Ufunuo 14:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Nikasikia sauti kutoka mbinguni kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo kubwa; na sauti niliyosikia ilikuwa kama ya waimbaji wanaofuatanisha sauti zao wakipiga vinubi vyao.
-
-
Ufunuo 14:2Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
2 Nami nikasikia mvumo kutoka mbinguni kama mvumo wa maji mengi na kama mvumo wa ngurumo kubwa; na mvumo niliosikia ulikuwa kama wa waimbaji ambao hufuatanisha sauti zao wenyewe na kinubi wakipiga vinubi vyao.
-