Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 13:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Baadaye huyo mwanamke akazaa mwana, akamwita jina Samsoni;+ na mvulana huyo akazidi kukua, na Yehova akaendelea kumbariki.+

  • 1 Samweli 2:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na wakati huo wote mvulana Samweli alikuwa akiendelea kukua na kupendwa na Yehova na vilevile na wanadamu.+

  • 1 Samweli 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na Samweli akaendelea kukua, na Yehova akawa pamoja naye,+ wala hakuacha neno lake lolote lianguke chini.+

  • Luka 1:80
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 80 Na huyo mtoto mchanga akaendelea kukua+ na kupata nguvu katika roho, naye akakaa katika majangwa mpaka siku ya kujionyesha waziwazi kwa Israeli.

  • Luka 2:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Na Yesu akazidi kufanya maendeleo katika hekima+ na ukuzi wa kimwili, akipata kibali kwa Mungu na wanadamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki