Waamuzi 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Baadaye huyo mwanamke akazaa mwana, akamwita jina Samsoni;+ na mvulana huyo akazidi kukua, na Yehova akaendelea kumbariki.+ 1 Samweli 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na wakati huo wote mvulana Samweli alikuwa akiendelea kukua na kupendwa na Yehova na vilevile na wanadamu.+ 1 Samweli 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Samweli akaendelea kukua, na Yehova akawa pamoja naye,+ wala hakuacha neno lake lolote lianguke chini.+ Luka 1:80 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 80 Na huyo mtoto mchanga akaendelea kukua+ na kupata nguvu katika roho, naye akakaa katika majangwa mpaka siku ya kujionyesha waziwazi kwa Israeli. Luka 2:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Na Yesu akazidi kufanya maendeleo katika hekima+ na ukuzi wa kimwili, akipata kibali kwa Mungu na wanadamu.+
24 Baadaye huyo mwanamke akazaa mwana, akamwita jina Samsoni;+ na mvulana huyo akazidi kukua, na Yehova akaendelea kumbariki.+
26 Na wakati huo wote mvulana Samweli alikuwa akiendelea kukua na kupendwa na Yehova na vilevile na wanadamu.+
19 Na Samweli akaendelea kukua, na Yehova akawa pamoja naye,+ wala hakuacha neno lake lolote lianguke chini.+
80 Na huyo mtoto mchanga akaendelea kukua+ na kupata nguvu katika roho, naye akakaa katika majangwa mpaka siku ya kujionyesha waziwazi kwa Israeli.
52 Na Yesu akazidi kufanya maendeleo katika hekima+ na ukuzi wa kimwili, akipata kibali kwa Mungu na wanadamu.+