14 Utakuwa kikundi cha watu kilichobarikiwa zaidi kuliko vikundi vingine vyote.+ Katikati yako hapatakuwa na mwanamume au mwanamke asiye na uzao, wala katikati ya wanyama wako wa kufugwa.+
19 Ndipo wakaamka asubuhi na mapema na kusujudu mbele za Yehova, baadaye wakarudi, wakaja nyumbani kwao huko Rama.+ Basi Elkana akalala+ na Hana mke wake, na Yehova akaanza kumkumbuka.+