Mwanzo 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana Yehova alikuwa amefunga kabisa kila tumbo la uzazi la nyumba ya Abimeleki kwa sababu ya Sara, mke wa Abrahamu.+ Mwanzo 30:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo hasira ya Yakobo ikawaka juu ya Raheli naye akasema:+ “Je, mimi niko badala ya Mungu, ambaye amekuzuilia uzao wa tumbo?”+
18 Kwa maana Yehova alikuwa amefunga kabisa kila tumbo la uzazi la nyumba ya Abimeleki kwa sababu ya Sara, mke wa Abrahamu.+
2 Kwa hiyo hasira ya Yakobo ikawaka juu ya Raheli naye akasema:+ “Je, mimi niko badala ya Mungu, ambaye amekuzuilia uzao wa tumbo?”+