Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 48:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yosefu alipoona kwamba baba yake aliuweka mkono wake wa kuume juu ya kichwa cha Efraimu, hakupendezwa,+ naye akajaribu kuushika mkono wa baba yake auondoe juu ya kichwa cha Efraimu na kuuweka juu ya kichwa cha Manase.+

  • Hesabu 1:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 wale walioandikishwa kati yao wa kabila la Efraimu+ walikuwa 40,500.+

  • Kumbukumbu la Torati 33:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kama mzaliwa wa kwanza wa ng’ombe-dume ndivyo fahari yake ilivyo,+

      Na pembe zake ni pembe za ng’ombe-dume wa mwituni.+

      Atasukuma vikundi vya watu kwa pembe hizo+

      Wote pamoja mpaka miisho ya dunia,

      Nao ni makumi ya maelfu ya Efraimu,+

      Nao ni maelfu ya Manase.”

  • Yoshua 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana wana wa Yosefu walikuwa wamekuwa makabila mawili,+ Manase+ na Efraimu;+ nao hawakuwa wamewapa Walawi fungu katika nchi, isipokuwa majiji+ ya kukaa na viwanja vyao vya malisho kwa ajili ya mifugo yao na mali zao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki