Ayubu 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa nini sikufa tokea tumbo la uzazi?+Kwa nini sikutoka tumboni kisha nikate pumzi? Yeremia 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa nini nimetoka ndani ya tumbo la uzazi+ ili kuona kazi ngumu na huzuni+ na ili siku zangu zifikie mwisho wake katika aibu tupu?+
18 Kwa nini nimetoka ndani ya tumbo la uzazi+ ili kuona kazi ngumu na huzuni+ na ili siku zangu zifikie mwisho wake katika aibu tupu?+