Ayubu 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa nini anampa nuru yule aliye na taabu,Na kuwapa uhai wale wenye uchungu wa nafsi?+ Ayubu 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mwanadamu, aliyezaliwa na mwanamke,+Ana maisha mafupi+ na yenye kujaa msukosuko.+