Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na huyo mwanamke alikuwa na uchungu katika nafsi,+ akaanza kusali+ kwa Yehova na kulia sana.+

  • 2 Wafalme 4:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Alipomjia yule mtu wa Mungu wa kweli katika mlima, mara moja akamshika miguu yake.+ Ndipo Gehazi akaja karibu ili amsukume aondoke,+ lakini mtu wa Mungu wa kweli+ akasema: “Mwache,+ kwa maana nafsi yake ina uchungu+ ndani yake; na Yehova amenificha+ jambo hilo wala hakuniambia.”

  • Methali 31:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mpeni kileo mtu yeyote anayekaribia kuangamia+ na kuwapa divai watu wenye uchungu katika nafsi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki