Ayubu 31:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Je, Yeye aliyenifanya mimi tumboni hakumfanya yeye,+Na je, si yeye Mmoja tu aliyetufanya sisi katika tumbo la uzazi? Ayubu 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yupo Yeye ambaye hajaonyesha upendeleo kwa wakuuWala hakumwonyesha mwenye cheo ufikirio kuliko yule wa hali ya chini,+Kwa maana wao wote ni kazi ya mikono yake.+ Matendo 17:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Naye alifanya kutoka kwa mtu mmoja+ kila taifa+ la watu, ili wakae juu ya uso wa dunia nzima,+ naye aliamuru nyakati+ na mipaka ya makao ya watu,+
15 Je, Yeye aliyenifanya mimi tumboni hakumfanya yeye,+Na je, si yeye Mmoja tu aliyetufanya sisi katika tumbo la uzazi?
19 Yupo Yeye ambaye hajaonyesha upendeleo kwa wakuuWala hakumwonyesha mwenye cheo ufikirio kuliko yule wa hali ya chini,+Kwa maana wao wote ni kazi ya mikono yake.+
26 Naye alifanya kutoka kwa mtu mmoja+ kila taifa+ la watu, ili wakae juu ya uso wa dunia nzima,+ naye aliamuru nyakati+ na mipaka ya makao ya watu,+