Isaya 49:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Nisikilizeni, enyi visiwa,+ na kazeni uangalifu, enyi vikundi vya mataifa vilivyo mbali.+ Yehova mwenyewe ameniita+ tangu tumboni.+ Amelitaja jina langu tangu tumbo la mama yangu.+ Luka 1:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 naye akapaaza sauti kubwa na kusema: “Wewe ni mbarikiwa kati ya wanawake, na uzao wa tumbo lako la uzazi umebarikiwa!+ Wagalatia 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini wakati Mungu, aliyenitenga mimi tangu tumbo la uzazi la mama yangu na kuniita+ kupitia fadhili zake zisizostahiliwa,+ alipoona vema
49 Nisikilizeni, enyi visiwa,+ na kazeni uangalifu, enyi vikundi vya mataifa vilivyo mbali.+ Yehova mwenyewe ameniita+ tangu tumboni.+ Amelitaja jina langu tangu tumbo la mama yangu.+
42 naye akapaaza sauti kubwa na kusema: “Wewe ni mbarikiwa kati ya wanawake, na uzao wa tumbo lako la uzazi umebarikiwa!+
15 Lakini wakati Mungu, aliyenitenga mimi tangu tumbo la uzazi la mama yangu na kuniita+ kupitia fadhili zake zisizostahiliwa,+ alipoona vema