Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 22:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ila tu Yehova akupe busara na uelewaji,+ naye akupe amri kuhusu Israeli ili kuishika sheria ya Yehova, Mungu wako.+

  • Ayubu 32:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Hakika ni roho iliyo ndani ya wanadamu wanaoweza kufa

      Na pumzi ya Mweza-Yote ndiyo inayowapa wao uelewaji.+

  • Zaburi 119:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  35 Unitembeze katika njia ya amri zako,+

      Kwa maana nimependezwa nayo.+

  • Mhubiri 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki