1 Mambo ya Nyakati 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ila tu Yehova akupe busara na uelewaji,+ naye akupe amri kuhusu Israeli ili kuishika sheria ya Yehova, Mungu wako.+ Ayubu 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakika ni roho iliyo ndani ya wanadamu wanaoweza kufaNa pumzi ya Mweza-Yote ndiyo inayowapa wao uelewaji.+ Zaburi 119:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Unitembeze katika njia ya amri zako,+Kwa maana nimependezwa nayo.+ Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.
12 Ila tu Yehova akupe busara na uelewaji,+ naye akupe amri kuhusu Israeli ili kuishika sheria ya Yehova, Mungu wako.+
8 Hakika ni roho iliyo ndani ya wanadamu wanaoweza kufaNa pumzi ya Mweza-Yote ndiyo inayowapa wao uelewaji.+
13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.