Zaburi 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Maagizo+ kutoka kwa Yehova ni manyoofu,+ huufanya moyo ushangilie;+Amri+ ya Yehova ni safi,+ huyafanya macho yang’ae.+ Zaburi 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Anaiburudisha nafsi yangu.+Ananiongoza katika mapito ya uadilifu kwa ajili ya jina lake.+ Wafilipi 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kwa maana Mungu ndiye ambaye, kwa ajili ya mapenzi yake mema, anatenda ndani yenu+ ili ninyi muwe na nia na kutenda pia.+
8 Maagizo+ kutoka kwa Yehova ni manyoofu,+ huufanya moyo ushangilie;+Amri+ ya Yehova ni safi,+ huyafanya macho yang’ae.+
13 kwa maana Mungu ndiye ambaye, kwa ajili ya mapenzi yake mema, anatenda ndani yenu+ ili ninyi muwe na nia na kutenda pia.+