9 na bado kwa kweli akaniambia: “Fadhili zangu zisizostahiliwa zinakutosha+ wewe; kwa maana nguvu zangu zinakamilishwa katika udhaifu.”+ Kwa furaha zaidi, basi, ni afadhali nijisifu kwa habari ya udhaifu wangu,+ ili nguvu za Kristo zibaki juu yangu kama hema.