Kumbukumbu la Torati 3:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na Yehova akaendelea kuwa na ghadhabu juu yangu kwa sababu yenu+ wala hakunisikiliza; lakini Yehova aliniambia, ‘Imetosha! Usiseme nami tena kamwe juu ya jambo hili.
26 Na Yehova akaendelea kuwa na ghadhabu juu yangu kwa sababu yenu+ wala hakunisikiliza; lakini Yehova aliniambia, ‘Imetosha! Usiseme nami tena kamwe juu ya jambo hili.