Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na ikawa kwamba, katika siku ya nne wakaanza kumwambia mke wa Samsoni: “Mdanganye mume wako ili atutegulie kitendawili hicho.+ Kama sivyo tutakuteketeza kwa moto+ wewe na nyumba ya baba yako. Je, mlitualika hapa ili mchukue mali zetu?”+

  • Waamuzi 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na Wafilisti wakaanza kusema: “Ni nani aliyefanya jambo hili?” Ndipo wakasema: “Ni Samsoni mwana-mkwe wa yule Mtimna, kwa sababu alimchukua mke wake, akampa rafiki yake.”+ Kwa hiyo Wafilisti wakaenda na kumteketeza kwa moto mwanamke huyo na baba yake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 25:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Amazia akawatenga, yaani, yale majeshi yaliyomjia kutoka Efraimu, ili waende kwao. Hata hivyo, hasira yao ikawaka sana juu ya Yuda, nao wakarudi kwao wakiwaka hasira.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki