Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hutaimiliki nchi yao kwa sababu ya uadilifu+ wako wala kwa sababu ya unyoofu wa moyo wako;+ kwa kweli, Yehova anayafukuzia mbali mataifa haya kutoka mbele yako+ kwa sababu ya uovu wao, na ili kulitimiza neno ambalo Yehova aliwaapia mababu zako, Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo.+

  • Waamuzi 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndipo watu wa Efraimu wakakusanywa pamoja na kuvuka kuelekea kaskazini, nao wakamwambia Yeftha: “Kwa nini ulivuka kupigana na wana wa Amoni, nawe hukutuita twende pamoja nawe?+ Nyumba yako tutaiteketeza juu yako kwa moto.”+

  • Waamuzi 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na ikawa kwamba, katika siku ya nne wakaanza kumwambia mke wa Samsoni: “Mdanganye mume wako ili atutegulie kitendawili hicho.+ Kama sivyo tutakuteketeza kwa moto+ wewe na nyumba ya baba yako. Je, mlitualika hapa ili mchukue mali zetu?”+

  • Methali 22:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yeye anayepanda ukosefu wa uadilifu atavuna madhara,+ lakini fimbo ya ghadhabu yake itafikia mwisho wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki