Hosea 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Kwa maana wao huendelea kupanda upepo, nao watavuna+ upepo wa dhoruba. Hakuna chochote chenye nafaka inayosimama.+ Hakuna chipukizi lolote linalotoa unga.+ Chipukizi lolote likiutokeza, wageni wataumeza.+ Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+
7 “Kwa maana wao huendelea kupanda upepo, nao watavuna+ upepo wa dhoruba. Hakuna chochote chenye nafaka inayosimama.+ Hakuna chipukizi lolote linalotoa unga.+ Chipukizi lolote likiutokeza, wageni wataumeza.+