Waamuzi 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Siku ya nne wakamwambia hivi mke wa Samsoni: “Mshawishi mume+ wako ili atutegulie kitendawili hicho. Kama sivyo, tutakuteketeza kwa moto pamoja na watu wa nyumba ya baba yako. Je, mlitualika hapa ili mchukue mali zetu?”
15 Siku ya nne wakamwambia hivi mke wa Samsoni: “Mshawishi mume+ wako ili atutegulie kitendawili hicho. Kama sivyo, tutakuteketeza kwa moto pamoja na watu wa nyumba ya baba yako. Je, mlitualika hapa ili mchukue mali zetu?”