Waamuzi 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wafilisti wakauliza: “Ni nani aliyefanya hivi?” Wakaambiwa: “Ni Samsoni, mkwe wa yule Mtimna, kwa sababu alimchukua mke wa Samsoni na kumpa kijana mwenzake.”+ Kwa hiyo Wafilisti wakaenda na kumteketeza mwanamke huyo na baba yake.+
6 Wafilisti wakauliza: “Ni nani aliyefanya hivi?” Wakaambiwa: “Ni Samsoni, mkwe wa yule Mtimna, kwa sababu alimchukua mke wa Samsoni na kumpa kijana mwenzake.”+ Kwa hiyo Wafilisti wakaenda na kumteketeza mwanamke huyo na baba yake.+