Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndipo watu wa Efraimu wakakusanywa pamoja na kuvuka kuelekea kaskazini, nao wakamwambia Yeftha: “Kwa nini ulivuka kupigana na wana wa Amoni, nawe hukutuita twende pamoja nawe?+ Nyumba yako tutaiteketeza juu yako kwa moto.”+

  • 2 Samweli 19:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Na, tazama! watu wote wa Israeli walikuwa wakimjia mfalme, nao wakamwambia mfalme: “Kwa nini+ ndugu zetu watu wa Yuda walikuiba ili wamlete mfalme na nyumba yake na watu wote wa Daudi pamoja naye kuvuka Yordani?”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 25:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Amazia akawatenga, yaani, yale majeshi yaliyomjia kutoka Efraimu, ili waende kwao. Hata hivyo, hasira yao ikawaka sana juu ya Yuda, nao wakarudi kwao wakiwaka hasira.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki