9 Na katika siku hiyo hakika mtu atasema: “Tazama! Huyu ndiye Mungu wetu.+ Tumemtumaini yeye,+ naye atatuokoa.+ Huyu ndiye Yehova.+ Tumemtumaini yeye. Na tuwe na shangwe na kushangilia katika wokovu wake.”+
7 Lakini nitaionyesha rehema nyumba ya Yuda,+ nami nitawaokoa kupitia kwa Yehova Mungu wao;+ wala sitawaokoa kwa upinde wala kwa upanga wala kwa vita, wala kwa farasi wala kwa wapanda-farasi.”+