Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana ni nani mwenye mwili wa nyama ambaye ameisikia sauti ya Mungu aliye hai+ ikisema kutoka katikati ya moto kama tulivyofanya sisi, naye akaendelea kuishi?

  • Zaburi 90:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kabla ya kuzaliwa kwa milima,+

      Au kutokezwa kwa dunia+ na nchi yenye kuzaa kana kwamba kwa maumivu ya kuzaa,+

      Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo wewe ni Mungu.+

  • Danieli 4:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Na mwishoni mwa siku zile,+ mimi, Nebukadneza, niliinua macho yangu juu kuelekea mbinguni,+ ndipo uelewaji wangu ukaanza kurudi kwangu; nami nikambariki Aliye Juu Zaidi,+ nami nikamsifu na kumtukuza Yeye anayeishi mpaka wakati usio na kipimo,+ kwa maana utawala wake ni utawala wa mpaka wakati usio na kipimo na ufalme wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+

  • 1 Petro 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana mmezaliwa upya,+ si kupitia mbegu yenye kuharibika,+ bali kupitia ile isiyoharibika+ yenye kuzaa,+ kupitia neno la Mungu+ aliye hai na anayedumu.+

  • Ufunuo 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wakati wowote hao viumbe hai wanapompa utukufu na heshima na shukrani+ Yule anayeketi juu ya kile kiti cha ufalme,+ Yule anayeishi milele na milele,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki