1 Wakorintho 15:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Hata hivyo, hili nasema, akina ndugu, kwamba nyama na damu haviwezi kuurithi ufalme wa Mungu,+ wala uharibifu haurithi kutoweza kuharibika.+
50 Hata hivyo, hili nasema, akina ndugu, kwamba nyama na damu haviwezi kuurithi ufalme wa Mungu,+ wala uharibifu haurithi kutoweza kuharibika.+