Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 27:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi kwa njia hii kosa la Yakobo litafanyiwa upatanisho,+ na haya ni matunda yote wakati anapoiondoa dhambi yake,+ wakati anapofanya mawe yote ya madhabahu kama mawe ya chokaa ambayo yamepondwa, hivi kwamba miti mitakatifu+ na vinara vya uvumba havitasimama.+

  • Ezekieli 36:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi;+ nami nitawasafisha ninyi kutokana na uchafu+ wenu wote na kutokana na sanamu zenu zote za mavi.+

  • Ezekieli 37:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nao hawatajitia unajisi tena kwa sanamu zao za mavi na kwa machukizo yao na kwa makosa yao yote;+ nami hakika nitawaokoa kutoka katika makao yao yote ambamo wametenda dhambi ndani yake, nami nitawasafisha,+ nao watakuwa watu wangu, na mimi mwenyewe nitakuwa Mungu wao.+

  • Hosea 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Efraimu atasema, ‘Nina nini tena na sanamu?’+

      “Hakika mimi mwenyewe nitatoa jibu, nami nitaendelea kumtazama.+ Mimi ni kama mberoshi wenye majani mengi.+ Matunda kwa ajili yako yatapatikana kwangu.”

  • Zekaria 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Na itatukia katika siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “kwamba nitakatilia mbali majina ya sanamu kutoka katika nchi,+ nayo hayatakumbukwa tena kamwe; nami nitaondoa pia katika nchi manabii+ na roho ya uchafu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki