23 Hawatajitia unajisi tena kwa sanamu zao zinazochukiza na kwa matendo yao yanayochukiza na kwa makosa yao yote.+ Nitawaokoa kutoka katika ukosefu wao wote wa uaminifu ambao umewafanya watende dhambi, nami nitawatakasa. Watakuwa watu wangu, nami mwenyewe nitakuwa Mungu wao.+