Yeremia 31:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,” asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+ Ezekieli 36:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha mtakaa katika nchi niliyowapa mababu zenu, nanyi mtakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wenu.’+
33 “Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,” asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+
28 Kisha mtakaa katika nchi niliyowapa mababu zenu, nanyi mtakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wenu.’+