Waebrania 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Hili ndilo agano nitakalofanya pamoja nao baada ya siku hizo,’ asema Yehova.* ‘Nitazitia sheria zangu katika mioyo yao, nami nitaziandika katika akili zao.’”+
16 “‘Hili ndilo agano nitakalofanya pamoja nao baada ya siku hizo,’ asema Yehova.* ‘Nitazitia sheria zangu katika mioyo yao, nami nitaziandika katika akili zao.’”+