43 Nanyi hakika mtakumbuka huko njia zenu na matendo yenu yote+ ambayo mlijitia unajisi kwa hayo,+ nanyi hakika mtajichukia mbele ya nyuso zenu wenyewe kwa sababu ya mambo yenu yote mabaya ambayo mliyatenda.+
“Hakika mimi mwenyewe nitatoa jibu, nami nitaendelea kumtazama.+ Mimi ni kama mberoshi wenye majani mengi.+ Matunda kwa ajili yako yatapatikana kwangu.”
2 “Na itatukia katika siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “kwamba nitakatilia mbali majina ya sanamu kutoka katika nchi,+ nayo hayatakumbukwa tena kamwe; nami nitaondoa pia katika nchi manabii+ na roho ya uchafu.+