23 Nao hawatajitia unajisi tena kwa sanamu zao za mavi na kwa machukizo yao na kwa makosa yao yote;+ nami hakika nitawaokoa kutoka katika makao yao yote ambamo wametenda dhambi ndani yake, nami nitawasafisha,+ nao watakuwa watu wangu, na mimi mwenyewe nitakuwa Mungu wao.+