25 Hakuna kamwe mtu yeyote ambaye amepata kuwa kama Ahabu,+ aliyejiuza ili kufanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova, ambaye Yezebeli+ mke wake alimchochea.+
2 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ ila tu si kama baba yake+ wala kama mama yake, bali aliondoa nguzo takatifu+ ya Baali ambayo baba yake alikuwa ametengeneza.+