7 Tena, neno la Yehova dhidi ya Baasha na nyumba yake lilikuja kupitia nabii Yehu mwana wa Hanani, kwa sababu ya uovu wote aliotenda machoni pa Yehova na kumkasirisha kwa kazi za mikono yake, akawa kama nyumba ya Yeroboamu, na pia kwa sababu alimuua Nadabu.+