14 Na hakika Yehova atajisimamishia mfalme+ juu ya Israeli atakayeikatilia mbali nyumba ya Yeroboamu siku ile iliyotajwa, na namna gani ikiwa ni sasa hivi?+
27 Na Baasha+ mwana wa Ahiya wa nyumba ya Isakari akaanza kupanga hila juu yake; naye Baasha akampiga na kumuua kule Gibethoni,+ jiji la Wafilisti, wakati Nadabu na Israeli wote walipokuwa wakilizingira Gibethoni.