Zaburi 103:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hakututendea kulingana na dhambi zetu;+Wala kuleta juu yetu kile tunachostahili kulingana na makosa yetu.+ Mhubiri 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana hukumu juu ya kazi mbaya haikutekelezwa upesi,+ ndiyo sababu moyo wa wana wa binadamu umeazimia kabisa ndani yao kutenda yaliyo mabaya.+ 2 Petro 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Pia, kwa tamaa watawatumia ninyi vibaya kwa maneno yasiyo ya kweli.+ Lakini kuwahusu wao, hukumu ya tangu zamani za kale+ haisongi polepole, na maangamizi yao hayalali.+
10 Hakututendea kulingana na dhambi zetu;+Wala kuleta juu yetu kile tunachostahili kulingana na makosa yetu.+
11 Kwa maana hukumu juu ya kazi mbaya haikutekelezwa upesi,+ ndiyo sababu moyo wa wana wa binadamu umeazimia kabisa ndani yao kutenda yaliyo mabaya.+
3 Pia, kwa tamaa watawatumia ninyi vibaya kwa maneno yasiyo ya kweli.+ Lakini kuwahusu wao, hukumu ya tangu zamani za kale+ haisongi polepole, na maangamizi yao hayalali.+