Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 15:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na vita vikatokea kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli siku zao zote.+

  • 1 Wafalme 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 tazama, ninafagia kabisa nikimfuata Baasha na nyumba yake, nami nitaifanya nyumba yake iwe kama nyumba ya Yeroboamu mwana wa Nebati.+

  • 1 Wafalme 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hivyo ndivyo Zimri alivyoiangamiza nyumba yote ya Baasha,+ kulingana na neno la Yehova+ alilokuwa amesema juu ya Baasha kupitia Yehu nabii,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Kuna agano kati yangu na wewe na kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, ninakuletea fedha na dhahabu. Nenda, vunja agano lako na Baasha+ mfalme wa Israeli, ili aondoke kwangu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki