1 Wafalme 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na vita vikatokea kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli siku zao zote.+ 1 Wafalme 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 tazama, ninafagia kabisa nikimfuata Baasha na nyumba yake, nami nitaifanya nyumba yake iwe kama nyumba ya Yeroboamu mwana wa Nebati.+ 1 Wafalme 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hivyo ndivyo Zimri alivyoiangamiza nyumba yote ya Baasha,+ kulingana na neno la Yehova+ alilokuwa amesema juu ya Baasha kupitia Yehu nabii,+ 2 Mambo ya Nyakati 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Kuna agano kati yangu na wewe na kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, ninakuletea fedha na dhahabu. Nenda, vunja agano lako na Baasha+ mfalme wa Israeli, ili aondoke kwangu.”+
3 tazama, ninafagia kabisa nikimfuata Baasha na nyumba yake, nami nitaifanya nyumba yake iwe kama nyumba ya Yeroboamu mwana wa Nebati.+
12 Hivyo ndivyo Zimri alivyoiangamiza nyumba yote ya Baasha,+ kulingana na neno la Yehova+ alilokuwa amesema juu ya Baasha kupitia Yehu nabii,+
3 “Kuna agano kati yangu na wewe na kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, ninakuletea fedha na dhahabu. Nenda, vunja agano lako na Baasha+ mfalme wa Israeli, ili aondoke kwangu.”+